Matokeo yote
Mtu binafsi
Kampuni
25 - 36 ya 38 matangazo
Newly listed
Panga
premium
Palm Rose Hotel
-Vyumba vina A/C -WiFi ya bure. -Parking ipo. -Kuna restaurant na bar -Vyunba vina TV na Fridge -Baadhi ya vyumba vina kibaraza
Mbezi Beach - Goig, Kinondoni, Dar es Salaam
premium
Florida Executive Inn
-Mita 650 tu kutoka soko la Kariakoo. -Vyumba vina choo na bafu ndani. -Kuna WiFi ya bure. -Parking ipo. -Kuna mgahawa. -Vyumba vina Tv na baadhi vina sehemu ya kukaa. -Huduma masaa 24.
Kariakoo - Congo/Omari, Ilala, Dar es Salaam
Nyumba inauzwa
INAUZWA KWA NIABA YA BANK -Ina Vyumba Vitatu Kimoja Master -Sitting, Kitchen & Public Toilet -Ukubwa Wa Eneo: SQM 300 -Umbali: Meter 100 Tu Kutoka Barabara Ya Lami Gharama Za kwenda site Ni Tshs 30,000/=
Mbagala Kwa Mkwama, Temeke, Dar es Salaam
Nyumba kubwa inapangishwa
-Ina vyumba 4, sebule na choo -Maji na umeme vipo -Ipo ndani ya fensi Kodi miezi 4
Chamazi Mfenesini, Temeke, Dar es Salaam
Nyumba inauzwa
MAONGEZI YAPO! -INA VYUMBA 4 VYA KULALA -SEBULE KUBWA SANA -KIMOJA MASTER -PUBLIC TOILET -JIKO KUBWA -PIA INA MABANDA YA KUFUGIA -UKUBWA WA ENEO NI SQMT 500 -MAUZIANO SERIKALI YA MTAA -MAJI YAPO UMEME UPO -WATU WANAISHI NDANI -UMBALI TOKA GOBA ROAD NI KM 1.5 -BODA 1000 TU -KWENDA SAITY SERVICE CHARG...
Goba Mageti, Ubungo, Dar es Salaam
Nyumba stand alone inapangishwa
• Vyumba 3 vya kulala kimoja master • Sebule Kubwa • Dinning Room • Jiko kubwa • Public toilet • Ipo ndani ya fence parking ya kutosha • Nyumba ni mpya kabisa. ========== ✍️ Kodi miezi 6 ✍️ Umbali 1.5km kutoka stand boda buku tu
Kiluvya Gogoni, Kisarawe, Pwani
Apartment inapangishwa
-Ina vyumba vitatu. Kimoja ni master. -Ina sebule, jiko, choo cha ndani. -Inajitegemea umeme na maji SERVICE CHARGE 15K MALIPO YA DALALI 350K UKILIPIA NYUMBA
Kwa Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam
Nyumba vyumba vitatu inapangishwa
-Ina vyumba vitatu, kimoja ni master. -Ina sebule, jiko, public toilet, dining, stoo. -Vyumba vina makabati ya nguo. -Umeme unajitegemea. -Kodi ni miezi 6 -Service charge 20k
Majohe - Gongo La Mboto, Temeke, Dar es Salaam
Chumba Master na sebule kinapangishwa
Ni chumba master, sebule na jiko. -UMBALI KUTOKA STEND KILOMETA 2 -UMEME UNAJITEGEMEA -MAJI YAPO DAWASA PIA KUNA RESERVE TANK NJE -VYUMBA VINA MAFENI -KODI Miezi 3
Mbezi Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam
premium
Palm Rose Hotel
-Vyumba vina A/C -WiFi ya bure. -Parking ipo. -Kuna restaurant na bar -Vyunba vina TV na Fridge -Baadhi ya vyumba vina kibaraza
Mbezi Beach - Goig, Kinondoni, Dar es Salaam
Kigala Hotel
-Vyumba vina A/C -Kuna restaurant na bar -Vyunba vina TV -Baadhi ya vyumba vina kibaraza
Buguruni Malapa, Ilala, Dar es Salaam
IMPERIAL HOTEL & APARTMENTS
-Vyumba vina A/C -WiFi ya bure. -Parking ipo. -Kuna restaurant na bar -Vyunba vina TV -Kuna sehemu ya mazoezi
Bungoni, Ilala, Dar es Salaam
Picnic Villa
-Vyumba vina A/C. -Kuna huduma ya kufua (laundry). -Parking ipo. -Kuna restaurant yenye bar. -Vyunba vina TV.
Simu 2000/ Sinza Mugabe, Ubungo, Dar es Salaam
Jakicha Motel
-Vyumba vina A/C -WiFi ya bure. -Parking ipo. -Kuna restaurant yenye bar -Vyunba vina TV na Fridge -Baadhi ya vyumba vina kibaraza
Kitunda Relini, Ilala, Dar es Salaam









