Matokeo yote
Mtu binafsi
Kampuni
13 - 24 ya 38 matangazo
Newly listed
Panga
premium
Palm Rose Hotel
-Vyumba vina A/C -WiFi ya bure. -Parking ipo. -Kuna restaurant na bar -Vyunba vina TV na Fridge -Baadhi ya vyumba vina kibaraza
Mbezi Beach - Goig, Kinondoni, Dar es Salaam
premium
Florida Executive Inn
-Mita 650 tu kutoka soko la Kariakoo. -Vyumba vina choo na bafu ndani. -Kuna WiFi ya bure. -Parking ipo. -Kuna mgahawa. -Vyumba vina Tv na baadhi vina sehemu ya kukaa. -Huduma masaa 24.
Kariakoo - Congo/Omari, Ilala, Dar es Salaam
Nyumba inauzwa
Ina vyumba vitatu, master bedroom, daining room, Jiko, public toilet Eneo SQM 500 Iko ndani ya fensi Mmiliki ni mmoja Gar inafika 0782944673
Mbagala Kingungi, Temeke, Dar es Salaam
Nyumba inapangishwa
2.5km kutoka stendi. Boda 1000 BAJAJI 700 ➖➖➖➖➖➖➖➖ SIFA ZA NYUMBA ✔️VYUMBA VIWILI VYA KULALA PABILIKI TOILET YA NDANI ✔️SEBULE NA JIKO ✔️ NDANI YA FENCE KASOLO GETI USALAMA WAKUTOSHA ➖➖➖➖➖➖➖➖➖ HUDUMA 💥UMEME 💥MAJI DAWASCO MNASHEA BILI ➖➖➖➖➖➖➖➖➖ KUPELEKWA SITE ELF 15 UNAPOLIPIA NYUMBA UTAMPA DALALI KO...
Mbezi Kwa Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam
Nyumba kitonga inapangishwa
-Ina vyumba vitatu -Kodi miezi mitatu -Ina sebule na jiko
Kwa Kaisi - G/Mboto, Ilala, Dar es Salaam
Nyumba inapangishwa
-Kodi kuanzia miezi 6 -Ina vyumba 3 vya kulala chumba kimojawapo master -Sebule, jiko, public toilet -umeme na maji anajitegemea hapa kuna apartments 3 tu ndani ya fence, distance dakika 4 kutoka barabarani, parking, fence, peving block, reserve water tank, Service survey charge tsh 20000 Malipo ya ...
Tabata Kinyerezi, Ilala, Dar es Salaam
Nyumba inapangishwa
-Ina vyumba viwili kimoja master -Kodi inalipwa kwa miezi mitatu mitatu
Ukonga Mombasa, Ilala, Dar es Salaam
Apartment inapangishwa
#DISTANCE DAKIKA 7 KWA MIGUU VYUMBA VITATU..kimoja ni master SEBULE JIKO PUBLIC TOILET YA NDANI INAJITEGEMEA UMEME,MAJI SERVICE CHARGE 15K MALIPO YA DALALI 350K UKILIPIA NYUMBA
Mbezi Kwa Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam
Nyumba ya kisasa inauzwa
-Ipo 1km kutoka Main Road (CHAMAZ Road). -Nyumba ina vyumba 3, 1 Master -Sebule, Dinning, Public Toilet, store, jiko. nyumba Ina maji na umeme Mazungumzo yapo kidogo
Chamazi, Temeke, Dar es Salaam
Nyumba stand alone inapangishwa
Ina vyumba vitatu kimoja master Jiko sebule dining Public toilet stoo Pia nje ina mabanda takufugia chochote upendacho Full parking Full electronics fence Service churge 20k Kimbia na pesa mkononi usilete kwaya site boss wangu.
Majohe Rada, Ubungo, Dar es Salaam
Boma linauzwa
-Vyumba ni vitatu, kimoja self -Sebule -Eneo 25 kwa 20 -Shimo la choo tayari -Lipo ndani ya mji, jirani kutoka kisesa senta Njoo na Posho yetu tufanye biashara
Kisesa, Magu, Mwanza
Nyumba inauzwa
Ina vyumba 4 chumba kimoja master Sebule danng jiko choo umeme kisima Kiwanja kina ukubwa wa ft 60×60 karibu
Chamazi Mfenesini, Temeke, Dar es Salaam
Nyumba kubwa inauzwa
-Ina vyumba 2 chumba kimoja master. -Sebule jiko choo umeme maji
Chamazi Mfenesini, Temeke, Dar es Salaam
Nyumba inauzwa
-Vyumba vitatu, kimoja ni master -Ina sebule, jiko na choo cha public -UMEME MAJI VYOTE ALISHAVUTA -Finishing ya ndani tayari, bado nje UKUBWA WA KIWANJA MITA 15 KWA 13 KUPELEKWA KUONA elfu 30
Mbezi Kifuru, Ubungo, Dar es Salaam









