Matokeo yote
Mtu binafsi
Kampuni
25 - 36 ya 45 matangazo
Higher price first
Panga
Apartment inapangishwa
ZIPO 2 TU KWENYE WNEO MOJA, KATI HIZO MOJA IPO WAZI #SEBULE WASTANI #CHUMBA MASTER #JIKO ZURI #LUKU INAJITEGEMEA #MAJI DAWASA NDANI #TAILZY GIPSAM ALUMINUM SLAIDING WINDOW PAVING BLOCKS NYUMBA ZIPO NDANI YA FENSI PARKING IPO #LOCATION KIMARA KOROGWE DK 6-7 KWA MIGUU KUTOKA MWENDOKASI #MALIPO MIEZI S...
Kimara Korogwe, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba master kinapangishwa
NYUMBA NI MPYA YA KISASA KODI MIEZI 6 KM 2 KUTOKA KITUO CHA MWENDOKASI USAFIRI UPO WA UHAKIKA BAJAJI 500 ========= SEBULE KUBWA JIKO ZURI KUBWA TILLES & GYPSUM ALUMINIUM SAFI LUKU YAKO MAJI YAPO DAWASA YANAFLOW NDANI NDAN YA FENS PARKING SPACE KUBWA MAZINGIRA MAZUR NA TULIVU SERVIC CHAJ ELFU 10
Kimara Korogwe, Ubungo, Dar es Salaam
Nyumba kubwa inapangishwa
-Ina vyumba 4, sebule na choo -Maji na umeme vipo -Ipo ndani ya fensi Kodi miezi 4
Chamazi Mfenesini, Temeke, Dar es Salaam
Nyumba stand alone inapangishwa
Ina vyumba vitatu kimoja master Jiko sebule dining Public toilet stoo Pia nje ina mabanda takufugia chochote upendacho Full parking Full electronics fence Service churge 20k Kimbia na pesa mkononi usilete kwaya site boss wangu.
Majohe Rada, Ubungo, Dar es Salaam
Apartment nzuri ya kibachela inapangishwa
#SEBULE KUBWA #CHUMBA KIKUBWA CHA KULALA #CHOO CHA PUBLIC CHA KWAKE NDANI KWA NDANI #LUKU INAJITEGEMEA YENYEWE #MAJI DAWASA YANATOKA NDANI MASAA 24 ‼️HAKUNA JIKO #PAVING #CAR PARKING HADI KWENYE NYUMBA NI DK 15 KWA MIGUU MALIPO YA MIEZI 6
Kimara Temboni, Ubungo, Dar es Salaam
Apartment nzuri inapangishwa
# CHUMBA MASTER # SEBULE KUBWA # UMEME UNAJITEGEMEA # MAJI NI YA KUSHEA BILI NA YANATOKA NDANI BEI NI 160X3 ILIPWE LAKI MMOJA NA SITINI KODI YA MIEZI MITATU KUJAKUONA NYUMBA NI ELFU 15 UKIIPENDA NYUMBA UTAMRIPA DALALI PESA YA MWEZI MMOJA KUTOKA MOROGORO ROOD KM 1 UKISHUKA KWENYE BAJAJI UNAPINGA TEKE...
Mbezi Kwa Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam
Nyumba inapangishwa
2.5km kutoka stendi. Boda 1000 BAJAJI 700 ➖➖➖➖➖➖➖➖ SIFA ZA NYUMBA ✔️VYUMBA VIWILI VYA KULALA PABILIKI TOILET YA NDANI ✔️SEBULE NA JIKO ✔️ NDANI YA FENCE KASOLO GETI USALAMA WAKUTOSHA ➖➖➖➖➖➖➖➖➖ HUDUMA 💥UMEME 💥MAJI DAWASCO MNASHEA BILI ➖➖➖➖➖➖➖➖➖ KUPELEKWA SITE ELF 15 UNAPOLIPIA NYUMBA UTAMPA DALALI KO...
Mbezi Kwa Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam
Nyumba vyumba vitatu inapangishwa
-Ina vyumba vitatu, kimoja ni master. -Ina sebule, jiko, public toilet, dining, stoo. -Vyumba vina makabati ya nguo. -Umeme unajitegemea. -Kodi ni miezi 6 -Service charge 20k
Majohe - Gongo La Mboto, Temeke, Dar es Salaam
Nyumba inapangishwa
-Ina vyumba viwili kimoja master -Kodi inalipwa kwa miezi mitatu mitatu
Ukonga Mombasa, Ilala, Dar es Salaam
Nyumba kitonga inapangishwa
-Ina vyumba vitatu -Kodi miezi mitatu -Ina sebule na jiko
Kwa Kaisi - G/Mboto, Ilala, Dar es Salaam
Apartment inapangishwa
# CHUMBA MASTER NA # SEBULE # CHOO CHA NDANI # UMEME NA MAJI WAWILI # MAJI YA KUSHEA BILI 4 KODI YA MIEZI MINNE KUONA NYUMBA NI ELFU 15 UKIIPENDA NYUMBA UTAMRIPA DALALI PESA YA MWEZI MMOJA KUTOKA MOROGORO ROOD KM 2 USAFIRI UPO BAJAJI 700 BODA 1000
Mbezi Kwa Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam
Apartment inapangishwa
CHUMBA MASTER KUBWA SAFI SEBURE KUBWA JIKO KUBWA NYUMBA KALI SANA NA IPO SEHEMU TULIVU ==== Kodi kwa miezi mitatu mitatu ==== Umeme Luku yako UNAJITEGEMEAMETER YAKO ,MAJI DAWASA YANAFLOW NDANI PIA KUNA RESERVE TANK JUU ==== Umbali KUTOKA KITUONI NI DKK 5 KUTEMBEA KWAMIGUUU NYUMBA IPO NDANI YA FESNI ...
Mbezi Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam









