Matokeo yote
Mtu binafsi
Kampuni
49 - 56 ya 56 matangazo
Newly listed
Panga
Nyumba stand alone inapangishwa
• Vyumba 3 vya kulala kimoja master • Sebule Kubwa • Dinning Room • Jiko kubwa • Public toilet • Ipo ndani ya fence parking ya kutosha • Nyumba ni mpya kabisa. ========== ✍️ Kodi miezi 6 ✍️ Umbali 1.5km kutoka stand boda buku tu
Kiluvya Gogoni, Kisarawe, Pwani
Chumba single kikubwa kinaoangishwa
-Kodi miezi 3 -Ndani ya fensi -Dilisha alluminium -Mazingira mazuri, location jirani na kota za jeshi
Gongo La Mboto, Temeke, Dar es Salaam
Chumba single kinapangishwa
Umbali kutoka lami ni 1.5Km (Pikipiki 1000/=) ✔️Chumba Kikubwa ✔️Tiles ✔️Madirisha ya watu kwa muda ✔️Nyumba nzuri ✔️Choo Cha kwako kwa nje __________ HUDUMA ÷ ✔️Maji (Dawasa)Yapo ✔️Umeme #2 Tu 📌 Mazingira TULIVU sana ➖➖➖➖➖➖➖➖➖ KODI, 60,000/= X 3/4/5/6 Malipo ni Ya miezi 5/6 + Mwezi 1 Wa Dalali. ___...
Kimara Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam
Apartment inapangishwa
-Ina vyumba vitatu. Kimoja ni master. -Ina sebule, jiko, choo cha ndani. -Inajitegemea umeme na maji SERVICE CHARGE 15K MALIPO YA DALALI 350K UKILIPIA NYUMBA
Kwa Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba master na sebule inapangishwa
-UMBALI KUTOKA STEND KILOMETA 2 -SEBULE KUBWA -CHUMBA KIMOJA MASTER KIKUBWA -SEHEMU YAKUPIKIA -UMEME NA MAJI UNAJITEGEMEA -MAJI DAWASA YANAFLOW NDANI -KODI MIEZI 3 -KUONA ELFU 15 -MALIPO YA DALALI KODI YA MWEZI MMOJA
Kwa Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam
Nyumba vyumba vitatu inapangishwa
-Ina vyumba vitatu, kimoja ni master. -Ina sebule, jiko, public toilet, dining, stoo. -Vyumba vina makabati ya nguo. -Umeme unajitegemea. -Kodi ni miezi 6 -Service charge 20k
Majohe - Gongo La Mboto, Temeke, Dar es Salaam
Chumba Master na sebule kinapangishwa
Ni chumba master, sebule na jiko. -UMBALI KUTOKA STEND KILOMETA 2 -UMEME UNAJITEGEMEA -MAJI YAPO DAWASA PIA KUNA RESERVE TANK NJE -VYUMBA VINA MAFENI -KODI Miezi 3
Mbezi Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam