Matokeo yote
Mtu binafsi
Kampuni
1 - 12 ya 45 matangazo
Lower price first
Panga
Chumba single kinapangishwa
Umbali kutoka lami ni 1.5Km (Pikipiki 1000/=) ✔️Chumba Kikubwa ✔️Tiles ✔️Madirisha ya watu kwa muda ✔️Nyumba nzuri ✔️Choo Cha kwako kwa nje __________ HUDUMA ÷ ✔️Maji (Dawasa)Yapo ✔️Umeme #2 Tu 📌 Mazingira TULIVU sana ➖➖➖➖➖➖➖➖➖ KODI, 60,000/= X 3/4/5/6 Malipo ni Ya miezi 5/6 + Mwezi 1 Wa Dalali. ___...
Kimara Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba single kinapangishwa
Chumba kimoja kikubwa sana na Choo na bafu nje chako mwenyew e Kodi miezi 6 maji dawsa yanaflow chooni pia Kuna reserve Tank juu safi juu feni safi Umbali KM 1.5 Usafiri bodaboda 1000 bajaji 500 Kupelekwa kuona nyumba elfu 15
Kwa Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam
Master ya kisasa inapangishwa
Umbali:1.3 Km Pikipiki Elf 1 BAJAJI 700/= ___________________ ✔️Chumba Kikubwa Master ✔️Tiles& Gypsum ✔️Nyumba ya kisasa ✔️Mazingira Mazuri . ✔️Feni Ya Juu ✔️Maji (yapo Dawasa) ✔️LUKU Yako 📌 MAZINGIRA TULIVU SSNA Gharama ya kwenda Kuona Nyumba ni Tsh. 15,000/=
Kimara Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam
Apartment inapangishwa
-KODI Miezi Minne -UMBALI WA KUTOKA BARABARANI KILOMITA 3 HADI KWENYE NYUMBA _______ USAFIRI BAJAJI 1000 BODA BODA 1500 _______ SIFA YA NYUMBA CHUMBA MASTA JIKO _______ WAPANGAJI WAWILI TU KIMOJA KIPO WAZI _______ KUPELEKWA KUONA 15000 UKILIPA DALALI UNAMLIPA KODI YA MWEZI MMOJA
Mbezi Kwa Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba na sebule inapangishwa
CHOO CHAKO UMEME WAKO Umbali: 1km kutoka barabara kuu 💰 Kodi: TZS 100,000 kwa mwezi 🛏 Chumba seble (choo) 🛋 Sebule kubwa yenye nafasi ya kutosha ⚡ Umeme wa luku yako 💧 Maji yapo Yana floo 🚪 Mlango binafsi 🧱 Ipo ndani ya fensi salama 🧼 Full tiles – nyumba safi na nadhifu 👁️ Kuona nyumba: TZS 10,000
Kimara Suka, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba master kinapangishwa
-Kina jiko kubwa -Kodi miezi 6 -1.2km kutoka lami -Ipo ndani ya fensi na parking ipo -UMEME UNAJITEGEMEA MAJI PIA YANA FLOW NDANI KUPELEKWA KUONA NYUMBA SERVICES 15.000 BILA KUSAHAU MALIPO YA MWEZI MMOJA KWA DALALI
Kimara Stop Over, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba master kinapangishwa
-CHUMBA MASTER NA JIKO MPYAAAA MPYAAA -INAPANGISHWA ZIPO 5 KWENYE COMPAUND MOJA -NDANI YA FENSI -USAFIRI WA UHAKIKA BAJAJ 500/= -INA TILES GPYSUM SLAIDING WINDOW -UMEME UNAJITEGEMEA -MAJI DAWASA YANAFLOW CHOONI KUPELEKWA KUONA NYUMBA SERVICES CHUG NI 15,000 BILA KUSAHAU MALIPO YA MWEZI MMOJA KWA DAL...
Mbezi Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam
Apartment nzuri inapangishwa
-Ina mast3r bedroom moja kubwa tu. -HAKUNA SEBULE -LUKU NA MITA YA MAJI DAWASA INAJITEGEMEA -PARKING KUBWA -IPO NDANI YA FENSI YENYE USALAMA WA KUTOSHA ❌ANATAKIWA MPANGAJI MSELA TUU WA KIKE AU WA KIUME Kodi inalipwa kwa miezi 6 Umbali kutoka lami ni 1km KUONESHWA NYUMBA HII GARAMA YAKE NI SHILINGI E...
Mbezi Kibanda Cha Mkaa, Ubungo, Dar es Salaam
Apartment inapangishwa
-CHUMBA KIKUBWA SEBURE KUBWA SAFI NA CHOO NDANI -KODI MIEZI MITATU ==== Umem UNAJITEGEMEA ,MAJI DAWASA YANAFLOW NDANI ==== Umbali KUTOKA KITUONI NI DKK 15 KUTEMBEA KWAMIGUUU AU BODA 1000 ==== Kupelekwa kuona Nyumba elfu 15 itadumu mpaka Upate bila kuchajiwa Tena ===
Mbezi Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam
Nyumba vyumba vitatu inapangishwa
-Ina vyumba vitatu, kimoja ni master. -Ina sebule, jiko, public toilet, dining, stoo. -Vyumba vina makabati ya nguo. -Umeme unajitegemea. -Kodi ni miezi 6 -Service charge 20k
Majohe - Gongo La Mboto, Temeke, Dar es Salaam
Nyumba inapangishwa
-Ina vyumba viwili kimoja master -Kodi inalipwa kwa miezi mitatu mitatu
Ukonga Mombasa, Ilala, Dar es Salaam
Nyumba kitonga inapangishwa
-Ina vyumba vitatu -Kodi miezi mitatu -Ina sebule na jiko
Kwa Kaisi - G/Mboto, Ilala, Dar es Salaam









