Matokeo yote
Mtu binafsi
Kampuni
1 - 12 ya 18 matangazo
Higher price first
Panga
premium
Florida Executive Inn
-Mita 650 tu kutoka soko la Kariakoo. -Vyumba vina choo na bafu ndani. -Kuna WiFi ya bure. -Parking ipo. -Kuna mgahawa. -Vyumba vina Tv na baadhi vina sehemu ya kukaa. -Huduma masaa 24.
Kariakoo - Congo/Omari, Ilala, Dar es Salaam
Nyumba kubwa inauzwa
↪️↪️Nyumba ina umbali wa Mita mia 400 kutokea Barabara kuu ya Lami ↪️↪️Nyumba Ina Vyumba 4 vya kulala Kimoja ni Master Bedroom na vyumba vyote ni Full Air Condition pamoja na Wall Cabinets ↪️↪️Nyumba Ina Gorofa 1 ↪️↪️Nyumba Ina Sebule Mbili ya Chini na ya juu ↪️↪️Nyumba Ina Swimming Pool kubwa ambay...
Pugu Rd - Taliani, Ilala, Dar es Salaam
Nyumba inauzwa
-Ina vyumba 4 -chumba kimoja masta -sebule, jiko, sehem ya kulia chakula, choo public -Ina frem 1
Kivule, Ilala, Dar es Salaam
Nyumba inauzwa
-Ina vyumba viwili, sebule kubwa, jiko, public toilet na master bedroom. -Uwanja mkubwa mbele MAONGEZI YAPO
Tabata Segerea, Ilala, Dar es Salaam
Tunauza kiwanja
-Ukubwa 35 kwa 30 -Tambalale -Kupelekwa Kuona kiwanja galama 20 -Umbali kotoka lami dk 5
Kinyerezi Kifuru, Ilala, Dar es Salaam
Nyumba inauzwa
Vyumba vitatu, kimoja masta. siting jiko Tailiz jipsam Umeme maji Parking ipo ya gari moja Unatembea tu had stend ☎️0715626743. Whatsp
Kivule Magole Kwa Mpemba, Ilala, Dar es Salaam
Nyumba inauzwa
-Ina vyumba viwili -Chumba kimoja master -Ina sebule na jiko -Choo cha public kipo
Chanika Mwisho, Ilala, Dar es Salaam
Nyumba inapangishwa
-Kodi kuanzia miezi 6 -Ina vyumba 3 vya kulala chumba kimojawapo master -Sebule, jiko, public toilet -umeme na maji anajitegemea hapa kuna apartments 3 tu ndani ya fence, distance dakika 4 kutoka barabarani, parking, fence, peving block, reserve water tank, Service survey charge tsh 20000 Malipo ya ...
Tabata Kinyerezi, Ilala, Dar es Salaam
Chumba na sebule inapangishwa
TABATA MAWENZI KUNA CHUMBA SEBULE JIKO CHOO......NIPIGIE
Tabata Mawenzi, Ilala, Dar es Salaam
Master na sebule kali
Chumba master, sebule, public toilet ya nje kushea watu 2 tu na bafu, reserve water tank, parking, fence. Service charge tsh 20000 Malipo ya dalali mwezi 1
Kinyerezi, Ilala, Dar es Salaam
Nyumba kitonga inapangishwa
-Ina vyumba vitatu -Kodi miezi mitatu -Ina sebule na jiko
Kwa Kaisi - G/Mboto, Ilala, Dar es Salaam
Nyumba inapangishwa
-Ina vyumba viwili kimoja master -Kodi inalipwa kwa miezi mitatu mitatu
Ukonga Mombasa, Ilala, Dar es Salaam
Chumba Master na sebule kinapangishwa
-Ina jiko -Inajitegemea maji na umeme -Ipo ndani ya fensi
Pugu Kinyamwezi, Ilala, Dar es Salaam









