Matokeo yote
Mtu binafsi
Kampuni
1 - 12 ya 39 matangazo
Lower price first
Panga
Chumba single kikubwa kinaoangishwa
-Kodi miezi 3 -Ndani ya fensi -Dilisha alluminium -Mazingira mazuri, location jirani na kota za jeshi
Gongo La Mboto, Temeke, Dar es Salaam
Chumba single kinapangishwa
-Kodi miezi 6 (haipungui) -Chumba 13 kwa 13 -Umbali kutoka stendi 2.5km -UMEME SUBMETER -MAJI KUSHEA BILI BAJAJ 1000 SERVICE CHARGE 15000
Kimara Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba kimoja kinapangishwa
-Kodi miezi minne -Dirisha la aluminium -Ndani ya geti -Choo cha kujitegemea SERVICE CHAGER 15K
Mbagala Kwa Mnyani, Temeke, Dar es Salaam
Chumba master kinapangishwa
-Kodi miezi 3 -Chumba kikubwa ndani ya fensi -umeme na maji unajitegemea
Gongo La Mboto Kwa Kaisi, Ilala, Dar es Salaam
Chumba single kinapangishwa
Umbali kutoka lami ni 1.5Km (Pikipiki 1000/=) ✔️Chumba Kikubwa ✔️Tiles ✔️Madirisha ya watu kwa muda ✔️Nyumba nzuri ✔️Choo Cha kwako kwa nje __________ HUDUMA ÷ ✔️Maji (Dawasa)Yapo ✔️Umeme #2 Tu 📌 Mazingira TULIVU sana ➖➖➖➖➖➖➖➖➖ KODI, 60,000/= X 3/4/5/6 Malipo ni Ya miezi 5/6 + Mwezi 1 Wa Dalali. ___...
Kimara Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba single kinapangishwa
-kutoka lami dk 8 kwa mguu -service charge elfu 10 -kwa maelezo zaid tupigie 0697077600
Mbezi Malamba Mawili, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba single kinapangishwa
Chumba kimoja kikubwa sana na Choo na bafu nje chako mwenyew e Kodi miezi 6 maji dawsa yanaflow chooni pia Kuna reserve Tank juu safi juu feni safi Umbali KM 1.5 Usafiri bodaboda 1000 bajaji 500 Kupelekwa kuona nyumba elfu 15
Kwa Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba master na sebule inapangishwa
-Kodi miezi mitatu -Maji na umeme unajitegemea -Ndani ya fance -Karibu na barabarani -Unaruhusiwa kutuma pesa ya udalali popote ulipo ili kuzuia chumba ila uwe na uhakika wakulipia chumba mapema isizidi siku 7 karibuni sana
Majohe Viwege Kwa Mpemba, Ilala, Dar es Salaam
Master ya kisasa inapangishwa
Umbali:1.3 Km Pikipiki Elf 1 BAJAJI 700/= ___________________ ✔️Chumba Kikubwa Master ✔️Tiles& Gypsum ✔️Nyumba ya kisasa ✔️Mazingira Mazuri . ✔️Feni Ya Juu ✔️Maji (yapo Dawasa) ✔️LUKU Yako 📌 MAZINGIRA TULIVU SSNA Gharama ya kwenda Kuona Nyumba ni Tsh. 15,000/=
Kimara Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba na sebule
SIO MASTA NI CHUMBA NA SEBULE TU KODI X5 WAPANGAJI WANNE UMEME MNASHARE TILES GYPSUM DIRISHA ZA KAWAIDA
Sabasaba Magengeni, Temeke, Dar es Salaam









