Matokeo yote
Mtu binafsi
Kampuni
13 - 24 ya 39 matangazo
Newly listed
Panga
Master na sebule inapangishwa
-Ina jiko -Kodi miezi 4 -Umbali kutoka kituoni 1.5km -Umeme unajitegemea -Maji bill ndani ya fence -Parking kubwa yenye paving blocks SERVICES CHURGE 15K MALIPO YA DALALI 200K UKILIPIA CALL 📞
Mbezi Kwa Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba kimoja kinapangishwa
-Kodi miezi minne -Dirisha la aluminium -Ndani ya geti -Choo cha kujitegemea SERVICE CHAGER 15K
Mbagala Kwa Mnyani, Temeke, Dar es Salaam
Apartment inapangishwa
CHUMBA MASTER KUBWA SAFI SEBURE KUBWA JIKO KUBWA NYUMBA KALI SANA NA IPO SEHEMU TULIVU ==== Kodi kwa miezi mitatu mitatu ==== Umeme Luku yako UNAJITEGEMEAMETER YAKO ,MAJI DAWASA YANAFLOW NDANI PIA KUNA RESERVE TANK JUU ==== Umbali KUTOKA KITUONI NI DKK 5 KUTEMBEA KWAMIGUUU NYUMBA IPO NDANI YA FESNI ...
Mbezi Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam
Master na sebule kali
Chumba master, sebule, public toilet ya nje kushea watu 2 tu na bafu, reserve water tank, parking, fence. Service charge tsh 20000 Malipo ya dalali mwezi 1
Kinyerezi, Ilala, Dar es Salaam
Chumba master kinapangishwa
-CHUMBA MASTER NA JIKO MPYAAAA MPYAAA -INAPANGISHWA ZIPO 5 KWENYE COMPAUND MOJA -NDANI YA FENSI -USAFIRI WA UHAKIKA BAJAJ 500/= -INA TILES GPYSUM SLAIDING WINDOW -UMEME UNAJITEGEMEA -MAJI DAWASA YANAFLOW CHOONI KUPELEKWA KUONA NYUMBA SERVICES CHUG NI 15,000 BILA KUSAHAU MALIPO YA MWEZI MMOJA KWA DAL...
Mbezi Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam
Apartment inapangishwa
KILOMETA 1 KUTOKA MOROGORO ROAD USAFIRI UPO WA BODA BODA BUKU TUU. CHUMBA MASTER SEBLE KUBWA SANA UMEME SUBMETER YAKE MAJI YANA FLOW CHOONI PUBLIC TOILET IPO NJEE FULL SECURITY 24HRS MAZINGILA MANZURI SANA SERVICE CHARGE 15,000/= Kodi miezi 6
Kimara Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam
Apartment nzuri inapangishwa
-UKISHUKA DK 7 MGUU -SEBULE KUBWA -UMEME NA MAJI YAKO -NDANI YA FENSI -GARDEN -PARKING KUBWA SANA -SECURITY Kodi miezi 6 KUONA ELF 15 UKILIPIA MWZ 1 DALALI
Mbezi Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba single kinapangishwa
-Kodi miezi 6 (haipungui) -Chumba 13 kwa 13 -Umbali kutoka stendi 2.5km -UMEME SUBMETER -MAJI KUSHEA BILI BAJAJ 1000 SERVICE CHARGE 15000
Kimara Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba master kinapangishwa
-Kina jiko -Luku na maji unajitegemea -Dakika 3 kwa miguu hadi stendi Service charge elf 10
Mbagala Mzambarauni, Temeke, Dar es Salaam
Apartment inapangishwa
# CHUMBA MASTER NA # SEBULE # CHOO CHA NDANI # UMEME NA MAJI WAWILI # MAJI YA KUSHEA BILI 4 KODI YA MIEZI MINNE KUONA NYUMBA NI ELFU 15 UKIIPENDA NYUMBA UTAMRIPA DALALI PESA YA MWEZI MMOJA KUTOKA MOROGORO ROOD KM 2 USAFIRI UPO BAJAJI 700 BODA 1000
Mbezi Kwa Msuguri, Ubungo, Dar es Salaam
Master ya kisasa inapangishwa
Umbali:1.3 Km Pikipiki Elf 1 BAJAJI 700/= ___________________ ✔️Chumba Kikubwa Master ✔️Tiles& Gypsum ✔️Nyumba ya kisasa ✔️Mazingira Mazuri . ✔️Feni Ya Juu ✔️Maji (yapo Dawasa) ✔️LUKU Yako 📌 MAZINGIRA TULIVU SSNA Gharama ya kwenda Kuona Nyumba ni Tsh. 15,000/=
Kimara Mwisho, Ubungo, Dar es Salaam
Chumba master kinapangishwa
-Kina jiko kubwa -Kodi miezi 6 -1.2km kutoka lami -Ipo ndani ya fensi na parking ipo -UMEME UNAJITEGEMEA MAJI PIA YANA FLOW NDANI KUPELEKWA KUONA NYUMBA SERVICES 15.000 BILA KUSAHAU MALIPO YA MWEZI MMOJA KWA DALALI
Kimara Stop Over, Ubungo, Dar es Salaam









